SHOP
Cart (0) Close

No products in the cart.

Miji Mtakatifu Ni Upi?

Ni miji ambayo ina umuhimu wa kidini au tamaduni katika Imani ya kikristo, mfano, Yerusalem, Nazareth na Bethlehemu. Miji hii ndio sehemu ambapo zawadi zetu zinapatikana.
Yerusalemu:

Play Video

Zawadi Za Kiimani Zinafaa Wakati Gani?

Muda wowote unafaa kutoa ama kupokea zawadi za kiimani. Lakini kuna siku muhimu katika maisha ya watu tuwapendao ambazo ni muhimu sana kutoa zawadi kama hizi zetu.

Mfano katika matukio ya ubatizo, kipaimara, komunio ya kwanza, ndoa, ubarikio, kumbukizi ya kuzaliwa na matukio mengine mengi yanayogusa maisha ya watu tuwapendao. Lengo letu kuwafurahisha tuwapendao huku tukiwakuza kiimani.

Miji Mitakatifu Ni Upi?

Miji takatifu katika Imani ya Kikristo, ni miji ambayo ina umuhimu wa kidini au tamaduni katika Imani ya kikristo, mfano, Yerusalem, Nazareth na Bethlehemu. Miji hii ndio sehemu ambapo zawadi zetu zinapatikana.

Yerusalemu

5/5
Ni mji wa chimbuko la Imani kwa dini ya Ukristo, Uyahudi na Uislamu. -Vitu - Mikufu ya msalaba, sanamu za kidini, na mapambo ya kiroho. -Matukio, Pasaka na maisha ya Yesu, kifo, na ufufuo wake.

Nazareti

5/5
Ni mahali alipokulia Yesu, ni mji wa utoto wake. • Vitu - Vitu vinazohusiana na Bikira Maria na sanaa ya mikono. • Matukio - Mahali Yesu Kristo alifanya kazi za seremala.

Bethlehemu

5/5
Ni mahali alipozaliwa Yesu. • Vitu - Zawadi mbalimbali vya Noell, vitu mbalimbali vya kumbukumbu ya kuzaliwa. • Matukio - Chimbuko la matukio ya Noeli

Galilaya

5/5
Eneo la matukio mengi ya Biblia, huduma kubwa ya Yesu. • Vitu - Mikufu ya kidini, vitu vya kumbukumbu ya matukio ya kibiblia. • Matukio - Mahali pa miujiza ya Yesu kama kutembea juu ya maji.

Miji hii ina umuhimu wa kipekee katika imani na historia ya kidini, na ni vituo muhimu vya hija na utalii wa kidini.